BLOGGER WA JAMVI LA HABARI AMEREMETA

Zamototz
Blogger mashuhuri wa blog ya Jamvi la Habari ambaye pia ni mhadhiri wa Chuo Kikuu cha SAUT-Songea Willy Migodela tarehe 07/10/2017 alifunga ndoa na Lightness Ngenzi katika kanisa la KKKT Msharika wa Mbarali mkoani Mbeya. Globu ya Jamii inampa pongezi Will na shemela kwa kumeremeta.

Pichani Bwana Harusi Willy Migodela na Bibi Harusi Lightness Ngenzi
Pichani Bwana Harusi na Bibi Harusi wakiwa na wasimamizi wao Mr & Mrs Pambano Myula
Pichani Bwana na Bibi Harusi wakiwa katika picha ya pamoja na wapambe wao.

Bwana na Bibi Harusi wakiwa katika tabasamu la kufurahia ndoa yao




from Michuzi Blog
Soma Zaidi

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post

Ad

Ads1

Sponsor Ad

Ads2