Breaking News: Zitto Kabwe Aachiwa kwa Dhamana Akamatwa Tena

Zamototz
Breaking News: Zitto Kabwe Aachiwa kwa Dhamana Akamatwa Tena
Saa chache baada ya Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe kukamatwa na Jeshi la Polisi  na kupelekwa katika kituo cha polisi cha Chang’ombe Dar es salaam, aliachiwa kwa dhamana lakini amekamatwa tena na kupelekwa kituo cha Polisi cha Kamata kwa ajili ya mahojiano zaidi.

Katibu na itikadi na uenezi wa ACT WAZALENDO amesema “baada ya kukamatwa tena amepelekwa kwenye kituo cha Polisi Kamata, hatufahamu ni sababu gani zilizofanya akakamatwa tena, tuna tafsiri kama Chama mwenendo wa sasa wa kumshughulikia Zitto ni kujaribu kumnyamazisha“
From Udaku Special
Soma Zaidi

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post

Ad

Ads1

Sponsor Ad

Ads2