Zamototz
Sitapenda kuandika mengi ila Chadema ilizembea sana kutokumpa ulinzi mtu aliyekuwa anaandamwa kama Lisu.
Wote tumeshuhudia system ya ulinzi ya Askofu Gwajima kuanzia kwenye stage mpaka escort yake pale hakuna cha Nissan nyeupe ya kutia puwa unless iwe imetangazwa vita ndio unaweza kumvamia Gwajima kijeshi, lakini yeye binafsi ametimiza wajibu wake wa kujilinda na the rest ni mamlaka ya Mungu.
Ni uzembe wa hali ya juu mmeufanya Chadema tusingependa hili lijirudie otherwise hao Red bregade wenu ni wa kazi gani?
Nyumba ya Kibatala kwa sasa ifungwe mifumo yote ya kiulinzi ya kielectroni na simu za viongozi wenu ambao ni threat kwa watu fulani muwape satellite phone kwa ajili ya mawasiliano muhimu. Nilisikitika sana kusikia mawasiliano ya Lisu yalikuwa yanaingiliwa huu ni uzembe wa hali juu sana, hata Mange anawazidi akili.
Nakaribisha na wenye utaalam wa kiusalama wa kisasa tuwape ushauri Chadema.
By Matola/JF
From Udaku Special
Soma Zaidi
Post a Comment