Odinga: Hakutakuwa na Uchaguzi Kenya 26 Oktoba

Zamototz
Odinga: Hakutakuwa na Uhaguzi Kenya 26 Oktoba
Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga amesisitiza kwamba muungano wake hautashiriki uchaguzi wa marudio wa urais ambao umepangiwa kufanyika Alhamisi.
Amesema kwamba haamini kwamba utakuwa huru na wa haki.
Bw Odinga aliongoza mkutano wa kisiasa Bondo, magharibi mwa Kenya Rais Kenyatta alipokuwa anaongoza maadhimisho ya sikukuu ya Mashujaa jijini Nairobi.
Ameahidi kutoa tangazo kwa wafuasi wake Jumatano.
From Udaku Special
Soma Zaidi

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post

Ad

Ads1

Sponsor Ad

Ads2