Polisi Tanzania yaichapa Polisi Dar bao 2-0

Zamototz
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Charles Mkumbo akisalimiana na wachezaji wa timu ya Polisi Tanzania kabla ya kuanza kwa mchezo wa ligi daraja la kwanza ulioikutanisha timu hiyo na Polisi Dar es Salaam katika uwanja wa Ushirika-Moshi Mkoani Kilimanjaro ambapo ulimalizika kwa Polisi Tanzania kupata ushindi wa magoli 2-0.
Mchezaji wa Polisi Tanzania Saimon Fanuel akionyesha umahiri wa kusakata soka wakati wa mchezo wa ligi daraja la kwanza ulioikutanisha timu hiyo na Polisi Dar es Salaam katika uwanja wa Ushirika-Moshi Mkoani Kilimanjaro ambapo ulimalizika kwa Polisi Tanzania kupata ushindi wa magoli 2-0.
Wachezaji wa Polisi Tanzania wakishangilia baada ya kujipatia goli la pili katika mchezo wa ligi daraja la kwanza kundi B ulioikutanisha timu hiyo na Polisi Dar es Salaam katika uwanja wa Ushirika-Moshi Mkoani Kilimanjaro ambapo ulimalizika kwa Polisi Tanzania kupata ushindi wa magoli 2-0.
Wachezaji wa Polisi Tanzania na Polisi Dar es Salaam wakiwania mpira katika lango la Polisi Dar es Salaam katika mchezo wa ligi daraja la kwanza kundi B uliozikutanisha timu hizo katika uwanja wa Ushirika-Moshi Mkoani Kilimanjaro ambapo ulimalizika kwa Polisi Tanzania kupata ushindi wa magoli 2-0.(Picha na Jeshi la Polisi).

from Michuzi Blog
Soma Zaidi

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post

Ad

Ads1

Sponsor Ad

Ads2