Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Dokta Bilinith Mahenge amefanaya ziara ya kukutana wananchi wa wilaya ya namtumbo kwa lengo la kutatua kero zinazowakabili katika wilaya hiyo,na hapa mkuu wa mkoa Dokt Mahenge anakutana na maswali magumu kutoka kwa wananchi hao huku idara ya maji na kilimo yakipamba moto.
from Michuzi Blog
Soma Zaidi
Post a Comment