SERIKALI YASHIRIKIANA NA WADAU KUBORESHA MFUMO SHIRIKISHI WA TAARIFA ZA KIUTUMISHI NA MISHAHARA (HCMIS) ILI UWE NA TIJA KIUTENDAJI

DSC02054

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapteni (Mstaafu) Mhe. George H. Mkuchika akiwasilisha Taarifa ya Maboresho ya Mfumo wa Taarifa za Kiutumishi na Mshahara Serikalini (HCMIS) kwenye Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Utawala na Serikali za Mitaa.

DSC02076

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapteni (Mstaafu) Mhe. George H. Mkuchika akisikiliza hoja za wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Utawala na Serikali za Mitaa mara baada ya kuwasilisha Taarifa ya Maboresho ya Mfumo wa Taarifa za Kiutumishi na Mshahara Serikalini (HCMIS) kwa wajumbe wa kamati hiyo.

DSC02115

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro akitoa ufafanuzi wa masuala ya kiutumishi kwenye Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Utawala na Serikali za Mitaa.

………………

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI -HCMIS-page-001 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI -HCMIS-page-002


SOMA ZAIDI

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post

Ad

Ads1

Sponsor Ad

Ads2