UHURU FM LEO TENA WAMWAGA MSAADA KUPITIA KAMPENI YAO YA 'GUSA MAISHA YAO' KUMUENZI BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE

Zamototz
Meneja Rasilimali watu wa Kampuni ya Peoples Media inayoendesha Kituo cha Radio cha Uhuru FM cha Jijini Dar es Salaam, Paul Mng'ong'o (wanne kushoto), akikabidhi msaada wa vitu mbalimbali vikiwemo vyakula kwa Mwanzilishi wa Kituo cha kujeresha katika maisha ya kawaida waraibu wa dawa za kulevya cha Pili Misana Foundation, Pili Misana, kilichopo Kigamboni, dar es Salaam, leo, ikiwa ni mwendelezo wa Uhuru FM kutoa misaada kupitia kampeni yao ya 'Gusa Maisha yao' kumuenzi Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere. Wengine katika picha ni baadhi ya wafanyakazi wa Uhuru FM na Vijana wanaoishi katika kituo hicho. 
Aina ya msaada uliotolewa 
Dereva akiliungurumisha basi kupitia daraja la Kigamboni kwenda kwenye kituo hicho 
Baadhi ya wafanyakazi wa Uhuru FM wakiwa katika basi kwenda kwenye kituo hicho cha kusaidia waraibu wa dawa za kulevya kurejea katika maisha ya kawaida, baada ya kufika wafanyakazi hao wakaanza kushuka na vitu vya msaada, mmoja baada ya mwingine .


from Michuzi Blog
Soma Zaidi

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post

Ad

Ads1

Sponsor Ad

Ads2