Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. January Makamba leo amekutana na kufanya mazungumzo na Viongozi wa Taasisi za Muungano zilizopo Zanzibar. Katika kikao hicho kilichofanyika katika Jengo la Uhamiaji Waziri Makamba alitoa fursa ya viongozi hao kuwasilisha maoni na changamoto zinazojitokeza katika utendaji wao wa kazi na kuweka mikakati ya kukabiliana nazo.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. January Makamba wa (tano kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Taasisi za Muungano waliopo Zanzibar. Waziri Makamba amepata fursa ya kuwasilikiza na kuwaahidi kufanyia kazi mapendekezo yote yaliyowasilishwa.
SOMA ZAIDI
Post a Comment