Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma, Jaji (mstaafu) mheshimiwa Dkt. Steven James Bwana (Kushoto), akimuapisha ndugu Mussa Magunguli (Kulia) kuwa Kaimu Mkurugenzi wa Mipango, Ufuatiliaji na Tathmini katika Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Umma. Wanaoshuhudia ni baadhi ya Viongozi wa Tume, hafla fupi ya kumuapisha imefanyika leo katika Ofisi ya Tume jijini Dar es Salaam. (Picha na PSC).
Mafunzo ya Ufugaji Bora na Matibabu, Jiunge sasa kwa KUBOFYA HAPA
Post a Comment