WAZIRI MAJALIWA AKAGUA MACHINJIO YA KISASA VINGUNGU JIJINI DAR ES SALAAM | Tarimo Blog

Muonekano wa Jengo la Machinjio ya Kisasa ya Vingunguti jijini Dar es salaam ambayo Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aliyakagua Mei 17, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu.)
Ng’ombe akiingizwa kwenye mtambo maalum wa kuchinjia  katika machinjio ya kisasa ya Vingunguti jijini Dar es salaam ambayo Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aliyakagua Mei 17, 2021.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mburugwa Matamwe (wa pili kulia) ambaye ni Mhandisi na Msimamizi wa Mradi wa ujenzi wa Machinjio ya kisasa ya Vingunguti jijini Dar es salaam, Mei 17, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu.)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama kazi ya uchinjaji mbuzi  katika Machinjio ya Kisasa Vingunguti jijini Dar es salaam, Mei 17, 2021. 
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua Mradi wa Machinjio ya Kisasa Vingunguti jijini. Dar es salaam, Mei 17, 2021.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wafanyabiashara wa mifugo wakati alipokagua ujenzi wa machinjio ya kisasa ya Vingunguti jijini Dar es salaam, Mei  17, 2021.
 

Mafunzo ya Ufugaji Bora na Matibabu, Jiunge sasa kwa KUBOFYA HAPA

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post

Ad

Ads1

Sponsor Ad

Ads2