Na Mwandishi Wetu
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mbeya imemuachia huru leo Juni 28,2021 kada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mdude Nyagali aliyekuwa akishtakiwa kwa kukutwa na dawa za kulevya.
Mdudu ameachiwa na Mahakama hiyo leo baada ya upande wa Jamhuri kushindwa kuwasilisha ushahidi wa kuweza kumtia hatiani.
Mafunzo ya Ufugaji Bora na Matibabu, Jiunge sasa kwa KUBOFYA HAPA
Post a Comment