RAIS SAMIA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MWENYEKITI WA MAKAMPUNI YA WILMAR INTERNATIONAL, IKULU DAR ES SALAAM | Tarimo Blog


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti wa Makampuni ya Wilmar International ya Singapore, Kuok Khoon Hong mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 18 Juni, 2021.
Mwenyekiti wa Makampuni ya Wilmar International ya Singapore Kuok Khoon Hong akizungumza na Wanahabari Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 18 Juni, 2021.


Mafunzo ya Ufugaji Bora na Matibabu, Jiunge sasa kwa KUBOFYA HAPA

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post

Ad

Ads1

Sponsor Ad

Ads2