KATIBU MKUU UCHUKUZI ATEMBELEA BANDA LA LATRA | Tarimo Blog

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Prof. Godius W. Kahyarara (kulia)akipata maelezo kutoka kwa  Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano kutoka Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) Salum Pazzy (kushoto) kuhusu kazi zinazofanywa na Mamlaka hiyo pamoja na lengo la kushiriki  katika Mkutano wa 16 wa Wadau kuhusu Ufuatiliaji na Tathmini ulioandaliwa na Wizara ya Uchukuzi unaofanyika mkoani Arusha kuanzia Disemba 5 hadi 8, 2023.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Prof. Godius W. Kahyarara (kulia) akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kutembelea Banda la Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) wakati wa Mkutano wa 16 wa Wadau kuhusu Ufuatiliaji na Tathmini  ulioandaliwa na Wizara ya Uchukuzi unaofanyika mkoani Arusha kuanzia Disemba 5 hadi 8,  2023. Wa kwanza kushoto ni Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano kutoka Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) Salum Pazzy

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Prof. Godius W. Kahyarara akipokea zawadi kutoka kwa Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano kutoka Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) Salum Pazzy mara baada ya kutembelea Bando la Mamlaka hiyo wakati wa Mkutano wa 16 wa Wadau kuhusu Ufuatiliaji na Tathmini unaoratibiwa na Wizara ya Uchukuzi unaofanyika mkoani Arusha kuanzia Disemba 5 hadi 8, 2023.

Mafunzo ya Ufugaji Bora na Matibabu, Jiunge sasa kwa KUBOFYA HAPA

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post

Ad

Ads1

Sponsor Ad

Ads2