Katika ziara hiyo, Waziri Nape alipokelewa na mwenyeji wake, Mkuu wa Mkoa huo, Mhe. Queen Sendiga, na alikuwa na ujumbe wa viongozi mbalimbali wa Wizara na Taasisi zilizo chini ya Wizara, wakiongozwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Bw. Selestine Gervas Kakele.
.jpeg)





Mafunzo ya Ufugaji Bora na Matibabu, Jiunge sasa kwa KUBOFYA HAPA
Post a Comment