Mkuu wa kitengo cha Ugavi wa kampuni ya ABINBEV kutoka makao makuu,Peter Kramer (wa kwanza kushoto) na ujumbe wake wakipata maelezo kuhusiana na utengenezaji bia kutoka kwa mtaalamu wa uzalishaji bia wa kiwanda cha TBL kilichopo Ilala jijini Dar es Salaam,Mecky Mlay, (kulia) wakati ujumbe wa kampuni hiyo ulipofanya ziara kiwandani hapo mwishoni mwa wiki kutathmini shughuli za uzalishaji.
Meneja wa kitengo cha ujazaji bia wa kiwanda cha TBL kilichopo Ilala jijini Dar es Salaam,Patel Kilovela (Kulia) akiwapatia maelezo Maofisa Waandamizi wa kampuni ya ABINBEV kuhusiana na udhibiti wa ubora katika mchakato wa kujaza na kufunga bia wakati ujumbe wa kampuni hiyo ulipotembelea kiwandani hapo mwishoni mwa wiki.
Maofisa Waandamizi kutoka kampuni ya Tanzania Breweries na ABINBEV wakibadilishana mawazo muda mfupi baada ya ziara ya ya kutembelea kiwanda cha TBL kilichopo Ilala jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Ujumbe wa Maofisa wa ABINBEV uko nchini kwa ziara ya kikazi na tathmini.
Ujumbe wa Maofisa wa ABINBEV wakiwa katika kiwanda cha TBL cha Mbeya
Ujumbe wa Maofisa wa ABINBEV wakiwa katika kiwanda cha TBL cha Mbeya
SOMA ZAIDI
Post a Comment