Mume Ampiga Stop Koletha Kucheza Filamu

Zamototz
Mume Ampiga Stop Koletha Kucheza Filamu
MSANII wa filamu za Kibongo, Koletha Raymond anadaiwa kupigwa stop kucheza filamu na mumewe Temba ndiyo maana amejikita kwenye mambo mengine kwa sasa.

Chanzo kilieleza kwamba kutokana na tabia za baadhi ya wasanii wa kike kutojiheshimu hata kama wakiwa kwenye ndoa, mume wa Koletha ameamua kumpiga stop kucheza filamu ili kulinda ndoa yao isije kukumbwa na kimbunga kwani ndoa nyingi za mastaa zimekuwa hazidumu.
From Udaku Special
Soma Zaidi

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post

Ad

Ads1

Sponsor Ad

Ads2