Rais Magufuli Atuma Salamu za Rambirambi kwa Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania

Zamototz
Rais Magufuli Atuma Salamu za Rambirambi kwa Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. John Pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) Mhashamu Tercisius Ngalalekumtwa kufuatia kifo cha Askofu wa Jimbo Katoliki la Tunduru Masasi Mhashamu Castory Msemwa, kilichotokea, Oktoba 19 mwaka huu nchini Oman.



From Udaku Special
Soma Zaidi

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post

Ad

Ads1

Sponsor Ad

Ads2