| Kombania ya walimu wa michezo wa jiji la Dar es Salaam, ambao walimenyana na wafanyakazi wa MCB katika pambano la soka la kirafiki. |
Priva Audax wa MCB, akijikunjua kufumua shuti.
Kocha mkuu wa MCB, Lufingo Mwakilasa
Wachezajiwa MCB (kulia), wakisalimiana na wwenzao wa Kombania ya walimu wa Dar es Salaam tayari kuanza mchezo huo.
Kipa wa MCB, akiruka kuokoa mpira
Kipa wa MCB, akipangua mpira
Priva Audax wa MCB
SOMA ZAIDI
Post a Comment