Dr Shein "Nitaondoka Nikimaliza Muda Wangu wa Kikatiba, Swala la Miaka 7 Nalisikia tu Mimi Halinihusu"

Zamototz
Rais wa Zanzibar Dr Shein amesema atatoka madarakani pindi atakapomaliza muda wake wa kikatiba na kwamba habari za kuongeza muda kuwa miaka 7 hata yeye amezisikia. Dr Shein amesema swala la kuongeza muda linajadiliwa na Baraza la Wawakilishi na kamwe hawezi kuwaingilia maana huenda wanajadili muhula wa Rais atakayemfuatia. Dr Shein ameyasema hayo akiwa airport mara baada ya kuwasili akitokea ziarani katika nchi za falme za kiarabu.

Source ITV habari!


From Udaku Special
Soma Zaidi

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post

Ad

Ads1

Sponsor Ad

Ads2