|
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akizungumza jambo wakati alipotembelea kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuona namna ambavyo madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo watakavyoweza kutoa huduma kwa wagonjwa hao. |
|
Msimamizi wa kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) Dkt. Stanley Binagi akielezea jinsi wanavyowahudumia wagonjwa hao wakati wataalamu kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete JKCI na Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) walipotembelea kituo hicho leo ili kuona namna ambavyo watatoa huduma za kibingwa kwa wagonjwa hao.
|
Wataalamu kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete JKCI na Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) wakiwa katika picha ya pamoja mara walipomaliza kikao chao na uongozi wa kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam. Wataalamu hao walitembelea kituo hicho kwa ajili ya kuona namna ambavyo watatoa huduma za kibingwa kwa wagonjwa wanaotibiwa katika kituo hicho. Picha na JKCI |
|
Mafunzo ya Ufugaji Bora na Matibabu, Jiunge sasa kwa
KUBOFYA HAPA
Post a Comment