Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akihutubia Wanachama wa Chama cha Mapinduzi na Wananchi wa Wilaya ya Kigamboni Mkoa wa Dar es salaam katika mkutano wa Kampeni wa Chama cha Mapinduzi CCM kwenye Uwanja wa Ofisi ya Zamani ya Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mji Mwema leo Septemba 08,2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/09/F87A0022-2.jpg)
Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM na Wananchi wa Wilaya ya Kigamboni Jijini Dar es salaam wakimsikiliza Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, alipokuwa akiwahutubia kwenye mkutano wa kampeni wa Chama Cha Mapinduzi katika Uiwanja vya Zamani wa Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mji Mwwema Dar es salaam leo Septemba 08,2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/09/F87A0061-2.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/09/F87A0047-2-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/09/F87A0009-2.jpg)
Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wasanii wa kikundi cha Mama Ongea na Mwanao alipowasili Uwanja wa Ofisi ya Zamani ya Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Mji Mwema kwa ajili ya kuhutubia mkutano wa kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM leo Septemba 08,202.
(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Mafunzo ya Ufugaji Bora na Matibabu, Jiunge sasa kwa KUBOFYA HAPA
Post a Comment