Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Charles Mbuge akifurahia jambo na Vijana wa Jeshi la Kujenga Taifa wanaojenga miundombinu ya Skimu ya umwagiliaji ya Kikosi cha Chita JKT 837 uliopo Ifakara Mkoani Morogoro.
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Charles Mbuge akiangalia jinsi maji yanavyopita katika moja ya banio ambalo litatumika kugawa Maji kwenda katika mashamba ya mpunga katika mradi wa umwagilkiaji unaojengwa na kikosi cha 837 Chita JKT Ifakara,Mkoani Morogoro.
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja General Charles Mbuge akitembelea moja ya ghala embalo litatumika kuhifadhia mpunga utakaovunwa katika mashamba hayo ya kimkakati wakati alipofanya ziara kuangalia maendeleo ya mradi huo uliopo Ifakara Mkoani Morogoro.
:Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Charles Mbuge akiangalia moja ya mfereji wa kupeleka maji unaojengwa katika skimu ya umwagiliaji ya Chita JKT kikosi 837 Chita JKT, unaopita chini ya reli unaopeleka maji katika mashamba ya mpunga wakati alipofanya ziara kuangalia maendeleo ya mradi huo Ifakara Mkoani Morogoro.Ujenzi wa miundombinu ya skimu hiyo umefikia asilimia 45 na unategemea kukamilika mwezi Mei 2021.
Mkuu wa Jeshi la kujenga Taifa (JKT) Meja General Charles Mbuge akiangalia sehemu ya ekari 2500 zilizopandwa mpunga na kikosi cha 837 Chita JKT wakati alipofanya ziara kuangalia maendeleo ya mradi huo uliopo Ifakara mkoani Morogoro.
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Charles Mbuge akiangalia moja ya mfereji wa kupeleka maji unaojengwa katika skimu ya umwagiliaji ya Chita JKT kikosi 837 Chita JKT, unaopita chini ya reli unaopeleka maji katika mashamba ya mpunga wakati alipofanya ziara kuangalia maendeleo ya mradi huo Ifakara Mkoani Morogoro.Ujenzi wa miundombinu ya skimu hiyo umefikia asilimia 45 na unategemea kukamilika mwezi Mei 2021.
Mafunzo ya Ufugaji Bora na Matibabu, Jiunge sasa kwa
KUBOFYA HAPA
Post a Comment