Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) pamoja na Waziri wa Maji, Nishati na Madini wa Zanzibar Mhe. Suleiman Masoud Makame wakisaini makubaliano ya pamoja ya ushirikiano kwa wizara hizo mbili.
Makubaliano hayo yanalenga kutoa fursa kwa wizara hizo mbili zenye dhamana ya kutoa huduma ya maji kushirikishana uzoefu na mbinu mbalimbali ili kulifikia lengo la kufikisha huduma ya majisafi, salama na yenye kutosheleza kwa wananchi.
Mafunzo ya Ufugaji Bora na Matibabu, Jiunge sasa kwa KUBOFYA HAPA
Post a Comment