IGP SIRRO AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA CHUO CHA MAAFISA KIDAT | Tarimo Blog

 

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro amefanya ziara ya kushtukiza katika Chuo cha Maafisa wa Polisi Kidatu kilichopo mkoani Morogoro na kukagua miundombinu ya chuo hicho, changamoto walizonazo na namna kinavyojiendesha.

Akiwa chuoni hapo IGP Sirro pia alizungumza na baadhi ya askari Polisi wanaosoma kozi ya Astashahada na Stashahada ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai na kuwataka wanafunzi hao kuzingatia masomo wanayofundishwa kwa lengo la kwenda kutoa huduma bora kwa wananchi na kutangaza taswira njema ya Jeshi la Polisi.


Mafunzo ya Ufugaji Bora na Matibabu, Jiunge sasa kwa KUBOFYA HAPA

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post

Ad

Ads1

Sponsor Ad

Ads2