RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE AFUNGUA RASMI MKUTANO WA KIMATAIFA WA ELIMU BORA | Tarimo Blog

 

Rais mstaafu wa Awamu ya Nne nchini Tanzamia, Dk. Jakaya Kikwete akihutubia kabla ya kufungus Mkutano wa kimataifa wa elimu Bora ulioandaliwa na Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), ambao unashirikisha wadau mbalimbali wa elimu kutoka serikalini, asasi na taasisi za kimataifa za ndani na nje ya nchi. Mkutano huo ulioanza leo unafanyika kwa siku tatu Ukumbi wa Kisenga Jengo la LAPF jijini Dar es Salaam, yaani tarehe 18 hadi 20 Mei 2021.

Mwenyekiti wa Bodi ya Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), Bw. John Kalage akizungumza leo wakati wa hafla ya ufunguzi wa mkutano wa kimataifa wa elimu Bora ulioandaliwa na Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), ambao unashirikisha wadau mbalimbali wa elimu kutoka serikalini, asasi na taasisi za kimataifa za ndani na nje ya nchi. Mkutano huo ulioanza leo unafanyika kwa siku tatu Ukumbi wa Kisenga Jengo la LAPF jijini Dar es Salaam, yaani tarehe 18 hadi 20 Mei 2021.


Mratibu wa Taifa TEN/MET, Bw. Ochola Wayoga akizungumza leo wakati wa ufunguzi wa mkutano wa kimataifa wa elimu Bora ulioandaliwa na Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), ambao unashirikisha wadau mbalimbali wa elimu kutoka serikalini, asasi na taasisi za kimataifa za ndani na nje ya nchi. Mkutano huo ulioanza leo unafanyika kwa siku tatu Ukumbi wa Kisenga Jengo la LAPF jijini Dar es Salaam, yaani tarehe 18 hadi 20 Mei 2021.



Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia Elimu, Gerald Mweli akizungumza kwenye mkutano huo.



Rais mstaafu wa Awamu ya Nne nchini Tanzamia, Dk. Jakaya Kikwete akitembelea Banda la Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), Kwenye hafla ya uzinduzi wa Mkutano huo ulioanza leo unafanyika kwa siku tatu Ukumbi wa Kisenga Jengo la LAPF jijini Dar es Salaam, yaani tarehe 18 hadi 20 Mei 2021.


Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Mh. Anders Sjöberg akizungumza leo wakati wa ufunguzi wa mkutano wa kimataifa wa elimu Bora ulioandaliwa na Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), ambao unashirikisha wadau mbalimbali wa elimu kutoka serikalini, asasi na taasisi za kimataifa za ndani na nje ya nchi. 



Rais mstaafu wa Awamu ya Nne nchini Tanzamia, Dk. Jakaya Kikwete (kushoto) akipata maelezo ndani ya Banda la Uwezo kabla ya kufungua Mkutano wa kimataifa wa elimu Bora ulioandaliwa na Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), ambao unashirikisha wadau mbalimbali wa elimu kutoka serikalini, asasi na taasisi za kimataifa za ndani na nje ya nchi. 

Rais mstaafu wa Awamu ya Nne nchini Tanzamia, Dk. Jakaya Kikwete akitembelea banda la Hakielimu kabla ya ufunguzi wa Mkutano wa kimataifa wa elimu Bora ulioandaliwa na Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), ambao unashirikisha wadau mbalimbali wa elimu kutoka serikalini, asasi na taasisi za kimataifa za ndani na nje ya nchi. 



Rais mstaafu wa Awamu ya Nne nchini Tanzamia, Dk. Jakaya Kikwete akitembelea mabanda mbalimbali ya wanachama wa TEN/MET.



Sehemu ya wajumbe washiriki wakiwa katika mkutano huo.



Mratibu wa Taifa TEN/MET, Bw. Ochola Wayoga (katikati) akiendesha mjadala katika mkutano wa kimataifa wa elimu Bora ulioandaliwa na Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), ambao unashirikisha wadau mbalimbali wa elimu kutoka serikalini, asasi na taasisi za kimataifa za ndani na nje ya nchi. 

Sehemu ya washiriki katika Mkutano wa kimataifa wa elimu Bora ulioandaliwa na Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), ambao unashirikisha wadau mbalimbali wa elimu kutoka serikalini, asasi na taasisi za kimataifa za ndani na nje ya nchi. 



Rais mstaafu wa Awamu ya Nne nchini Tanzamia, Dk. Jakaya Kikwete pamoja na meza kuu, akipata picha ya kumbukumbu na wawasilisha mada katika Mkutano wa kimataifa wa elimu Bora ulioandaliwa na Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), ambao unashirikisha wadau mbalimbali wa elimu kutoka serikalini, asasi na taasisi za kimataifa za ndani na nje ya nchi.



Rais mstaafu wa Awamu ya Nne nchini Tanzamia, Dk. Jakaya Kikwete akisisitiza jambo alipokuwa akijibu maswali ya wajumbe wa Mkutano wa kimataifa wa elimu Bora ulioandaliwa na Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), ambao unashirikisha wadau mbalimbali wa elimu kutoka serikalini, asasi na taasisi za kimataifa za ndani na nje ya nchi.

Mafunzo ya Ufugaji Bora na Matibabu, Jiunge sasa kwa KUBOFYA HAPA

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post

Ad

Ads1

Sponsor Ad

Ads2