ASKOFU GWAJIMA AKIKATAA, KITI, KIPAZA SAUTI KABLA YA KUHOJIWA | Tarimo Blog


Askofu Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima akiomba kubadilishiwa kiti alichoandaliwa kukaa wakati kikao cha kuhojiwa na tayari kuhojiwa na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kuhusu tuhuma za kusema uongo na kushusha hadhi na heshima ya Bunge jijini Dodoma leo Agosti 23,2021. Pia aliomba abadilishiwe kipaza sauti.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Askofu Gwajima akikalia kiti baada ya kubadilishiwa.
Akiweka sawa kipaza sauti baada ya kubadilishiwa

Askofu Gwajima akiwa amekaa tayari kwa kuhojiwa.



Mwenyekiti wa Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, Emmanuel Mwakasaka akiongoza kikao hicho.



Wajumbe wa Kamati hiyo wakiwa kwenye kikao hicho.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA




Mafunzo ya Ufugaji Bora na Matibabu, Jiunge sasa kwa KUBOFYA HAPA

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post

Ad

Ads1

Sponsor Ad

Ads2