KUNDI LA PILI LA WATALII 137 KUTOKA ISRAEL LAWASILI NCHINI | Tarimo Blog







 KUNDI la pili la watalii 137 kutoka nchini Israel  limewasili nchini na watakuwepo nchini kwa siku 7, huku  kundi la awali la watalii 150 kutoka Israel wakimaliza salama utalii wao nchini

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TANAPA imeelezwa kuwa watalii hao wamefurahi mapokezi yaliyoandaliwa kwa ajili hayo na kuelezwa kuwa makundi mengi zaidi yanategemewa  kuwasili wiki ijayo na wengi wa watalii hao wakieleza namna  Tanzania ilivyobarikiwa vya kutosha huku wengi wao  wakiahidi kurudi tena na kusifu hatua zilizopo juu ya  tahadhari dhidi ya UVIKO 19.


Mafunzo ya Ufugaji Bora na Matibabu, Jiunge sasa kwa KUBOFYA HAPA

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post

Ad

Ads1

Sponsor Ad

Ads2