MAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA BALOZI WA SWITZERLAND NCHINI TANZANIA | Tarimo Blog

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman, akizungumza na Balozi wa Switzerland  nchini Tanzania  Bw.  Didier Chassot huko ofisini kwa Makamu Migombani Mjini Zanzibar . Kulia kwa Balozi ni Ofisa wa Ubalozi huo anayeshughulikia masuala ya Siasa  Leonor Bottaro. (Picha na Kitengo cha Habari Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.)

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman, (kulia) akipokea zawadi kutoka kwa Balozi wa Switzerland  nchini Taanzania  Bw.  Didier Chassot aliyefika ofisini kwa Makamu Migombani Mjini Zanzibar leo kwa ajili ya mazungumzo ya ushirikiano.. (Picha na Kitengo cha Habari Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.)

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman, (kulia) akizungumza na Balozi wa Switzerland  nchini Taanzania  Bw.  Didier Chassot huko ofisini kwa Makamu Migombani Mjini Zanzibar leo .. (Picha na Kitengo cha Habari Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.)


 


Mafunzo ya Ufugaji Bora na Matibabu, Jiunge sasa kwa KUBOFYA HAPA

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post

Ad

Ads1

Sponsor Ad

Ads2