Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman, akizungumza na Balozi wa Switzerland nchini Tanzania Bw. Didier Chassot huko ofisini kwa Makamu Migombani Mjini Zanzibar . Kulia kwa Balozi ni Ofisa wa Ubalozi huo anayeshughulikia masuala ya Siasa Leonor Bottaro. (Picha na Kitengo cha Habari Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.)
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman, (kulia) akipokea zawadi kutoka kwa Balozi wa Switzerland nchini Taanzania Bw. Didier Chassot aliyefika ofisini kwa Makamu Migombani Mjini Zanzibar leo kwa ajili ya mazungumzo ya ushirikiano.. (Picha na Kitengo cha Habari Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.)
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman, (kulia) akizungumza na Balozi wa Switzerland nchini Taanzania Bw. Didier Chassot huko ofisini kwa Makamu Migombani Mjini Zanzibar leo .. (Picha na Kitengo cha Habari Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.)
Mafunzo ya Ufugaji Bora na Matibabu, Jiunge sasa kwa KUBOFYA HAPA
Post a Comment