HASUNGA ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE CCM JIMBO LA VWAWA | Tarimo Blog

Waziri Japhet Hasunga akionyesha fomu ya kugombea ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi mara baada ya kukabidhiwa na Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Mbozi Bi Hanji Godigodi leo Tarehe 21 Agosti 2020.
Waziri Japhet Hasunga akikabidhiwa fomu ya kugombea ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi na Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Mbozi Bi Hanji Godigodi leo Tarehe 21 Agosti 2020.

Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga amechukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Vwawa Mkoani Songwe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) mwaka 2020-2025.

Waziri Hasunga amekabidhiwa fomu hiyo leo Tarehe 21 Agosti 2020 na Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Mbozi Bi Hanji Godigodi ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi.

Mafunzo ya Ufugaji Bora na Matibabu, Jiunge sasa kwa KUBOFYA HAPA

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post

Ad

Ads1

Sponsor Ad

Ads2