MAKABIDHIANO YA OFISI ZA MSAJILI WA HAZINA | Tarimo Blog

 


Msajili wa Hazina, Mgonya Benedicto (kushoto) akipokea nyaraka kutoka kwa aliyekuwa Msajili wa Hazina,  Athumani Mbuttuka wakati wa makabidhiano rasmi ya ofisi yaliyofanyika jana katika Ofisi ya Msajili wa Hazina, Dar es Salaam.  Benedicto ameteuliwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa Msajili wa Hazina kuchukua nafasi ya Mbuttuka ambaye ameteuliwa na Mheshimiwa Rais kuwa Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali. ( Picha na Ofisi ya Msajili wa Hazina).

 

 


Mafunzo ya Ufugaji Bora na Matibabu, Jiunge sasa kwa KUBOFYA HAPA

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post

Ad

Ads1

Sponsor Ad

Ads2