RAIS DKT. MAGUFULI AMUAPISHA NAIBU WAZIRI WA MADINI IKULU CHAMWINO MKOANI DODOMA | Tarimo Blog

Ad

Ads1



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Profesa Shukrani Manya kuwa Naibu Waziri wa Madini katika hafla fupi iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 11 Desemba 2020.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na viongozi mbalimbali mara baada ya kumuapisha Naibu Waziri wa Madini Profesa Shukrani Manya katika hafla fupi iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 11 Desemba 2020.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Naibu Waziri wa Madini Profesa Shukrani Manya mara baada ya kumuapisha katika hafla fupi iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 11 Desemba 2020.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa, Spika wa Bunge Job Ndugai, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi, Waziri wa Madini Doto Biteko, Naibu Waziri wa Madini Profesa Shukrani Manya pamoja na Kaimu Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma Latifa Mansour (wa kwanza kushoto) PICHA NA IKULU.


 

Mafunzo ya Ufugaji Bora na Matibabu, Jiunge sasa kwa KUBOFYA HAPA

Sponsor Ad

Ads2

Post a Comment

Previous Post Next Post